المدة الزمنية 34:59

MALI ZA BILIONEA ERASTO MSUYA ZAITESA FAMILIA,FULL STORY HII HAPA

بواسطة Mwanga Tv
431 345 مشاهدة
0
1.4 K
تم نشره في 2019/10/19

ERASTO MSUYA alikuwa ni Mfanyabiashara wa Madini ya Tanzanite ambaye aliuwawa kwa kupigwa risasi August 07, 2013 katika eneo la Mijohoroni Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro. Baadaye Mwaka 2016 Mdogo wa Kike wa Bilionea huyo Anethe Msuya naye aliuwawa na kusababisha kushikiliwa kwa Mke wa Marehemu Erasto anayefahamika kwa Majina ya Miriam Mrita akihusishwa na Mauaji ya Wifi yake. Bilionea Erasto aliyeacha watoto 4 aliacha Vitegauchumi kadhaa ikiwemo Mgodi ulipo Mirerani,Hoteli ya SG iliyopo Jijini Arusha,Nyumba,Mashamba,Magari pamoja na Fedha taslimu.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1057