المدة الزمنية 3:15

News : Kurutu amzaba polisi kofi

بواسطة KTN News Kenya
1 068 287 مشاهدة
0
2.2 K
تم نشره في 2012/11/23

Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on http://www.ktnkenya.tv Zoezi la usajili wa makurutu ambao wanakusudia kujiunga na kikosi cha polisi mjini Nakuru liligeuka na kuwa vioja , baada ya mmoja wa vijana aliyeshiriki zoezi hilo kuwageukia maafisa wa polisi na kuwachapa . Haikubainika kwa nini kijana huyo kwa jina Joseph Gikonyo , aliamua kuwageukia polisi . Hata hivyo safari ya Gikonyo kutafuata nafasi katika idara ya polisi ilikomea hapo kwani alitiwa nguvuni na polisi

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 182