Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amefungua semina ya umoja wa wanawake wa wilaya ya Arusha mjini ( UWT) yenye lengo la kuwajengea uwezo ikiwa ni pamoja na kuelekezana namna ya kutimiza majukumu yao pamoja na mada za kuwajengea uwezo.
Gambo amesema jimbo la Arusha mjini haliwezi kugawanywa kama inavyozungumzwa na hawana mpango huo.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 90
مقاطع الفيديو ذات الصلة على RC Gambo 'Kwa gharama yoyote Jimbo la Arusha Mjini litakuwa la CCM':