المدة الزمنية 4:48

Mjane Alivyonusurika Kuchomwa Moto Kwa Tuhuma za Uchawi

بواسطة CLOUDSMEDIA
1 579 مشاهدة
0
29
تم نشره في 2020/09/08

MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Felisia Masao mwenye umri wa miaka 71 mkazi wa kijiji cha Uru Mnini katika wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro amenusurika kifo baada ya chumba alichokuwa akilala kudaiwa kuchomwa moto huku tuhuma za uchawi dhidi yake zikitajwa.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 11