TIMU ya JKT Tanzania imepewa adhabu ya kucheza bila mashabiki katika michezo yake yote ya nyumbani ya Ligi Kuu msimu huu kwa kosa la kukiuka miongozo ya serikali, adhabu itakayoanza leo.
Kosa hilo ni kushindwa kudhibiti idadi ya mashabiki waliojitokeza katika uwanja wa Jamhuri, Dodoma jana katika mchezo wao wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu dhidi ya Yanga uliomalizika kwa sare ya bao 1-1.
Taarifa iliyotolewa leo na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeeleza kuwa adhabu hiyo imeelekezwa kwa JKT Tanzania kwa sababu wao ndio walikuwa timu mwenyeji.
"Katika mchezo huo na. 288 uliochezwa jana Jumatano, Juni 17, 2020, mashabiki walijazana uwanjani na kukaa bila kuzingatia Kanuni ya 2.0.2 (iii) inayosisitiza kuachiana mita moja.
Subscribes:/c/KidaniStars
HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc
HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx
HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R
HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW
Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars
Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars
Twitter: https://twitter.com/Kidanistars
Subscribes:/c/KidaniStars