المدة الزمنية 17:53

Je, Ni Busara Kubatili Mafundisho Ya Kanisa Langu Na Kubadili Dini

بواسطة IDHAA YA UKWELI
2 993 مشاهدة
0
67
تم نشره في 2014/12/19

Nilibatizwa wakati nilipokuwa na umri wa miaka tisa na kwa kweli nilipokea kipa imara miaka miwili baadaye. Naam, kwa miezi michache iliyopita nimekuwa nikifanya utafiti mwingi kuhusu Kanisa la Mungu na nimeweza kutambua kile ninachohitaji kwa kweli. Naam, swali langu ni; Je, itakuwa ni busara kwangu kubatilisha mafundisho ya Kanisa langu na nini itakuwa athari?

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 14