Je ni mabadiliko gani unakiu ya kuyaona kwenye maisha yako? Ni kupungua uzito? Ni kuongezeka kwa kipato? Ni ubora wa malezi ya watoto wako? Ni kuondokana na matatizo kwenye mahusiano yako? Umewahi kujiuliza kwanini ni ngumu kuyafikia? Nina jibu hapa kwa ajili yako. Fuatilia somo hili zuri.#DrChrisMauki#Hatua#Mabadiliko